Wazazi, ni vyema kwenu kujijengea mazoea
na utaratibu wa kuwa karibu na watoto wenu hasa linapokuja suala la
mahusiano yao na marafiki.
Inawezekana kabisa kuharibikwa kwa
mwanao kukatokana na aina ya watu anaokuwa nao karibu, kitu ambacho
naamini kama mzazi usingependa kitokee kwa mwanao.
Utajisikiaje ukikuta aina hii ya picha ya ndugu yako....?
No comments:
Post a Comment