TTCL

EQUITY

Thursday, December 5, 2013

HUU NDIO UTANDAWAZI....


Jarida moja nchini Afrika Kusini, Blaque, siku chache zilizopita lilichapisha toleo lililokwenda kwa jina ‘Men in Heels: Understanding A (Wo)man Better’, ambapo linahusisha wanaume ambao wamevaa viatu vya kike katika kusheherekea ‘Mwezi wa Wanawake’.


Baaadhi ya vikundi vya ushoga waliita kitendo hicho kama kitendo cha mashoga ila hakuna ishara iliyoonyesha kwamba jamaa hao kweli kuwa ni mashoga. 

Angalia picha zaidi hapo chini;



No comments:

Post a Comment