![]() |
Mwl. Ramsey Mosha akitoa maelezo kwa vijana wenye ulemavu kuhusu huduma wanazo toa na mafunzo yanayofanyika chuoni hapo |
![]() |
Bi. Heim Mkunga na mwalimu wa mafunzo ya viungo bandia akitoa ufafanuzi kuhusu namna ya kuwahudumia na vile huduma ya watu wenye ulemavu inapatikana |
![]() |
Binti sarah akipatiwa matiwahuduma ya kutengenezewa Miguu bandia |
![]() |
Watatu kutoka kulia Mkurugenzi wa chuo cha usa river Bw.Diakon Clous Heim |
![]() |
Bi. Lilynorah Kimaro Mfanyakazi CCBRT na Mch. Fadhil Lymuya wakijisomea vijarida vya Chuoni hapo |
![]() |
Baadhi ya bidhaa zinayotengenezwa chuoni hapo |
![]() |
Wakiwa katika picha ya pamoja ni wafanyakazi wa CCBRT na walemavu waliowatembelea watu wenye ulemavu chuo cha usa river |
![]() |
Aliyeketi Kaimu Mkurugenzi wa chuo cha Usa river Bi. Sophia Moshi |
![]() |
Bi. Lilynorah Kimaro akipatiwa huduma katika duka linalo uza bidhaa zinanzotengenezwa chuoni hapo |
![]() |
Wafanyakazi wa CCCBRT na vijana weneye ulemavu wakionja bidhaa za chuoni hapo |
![]() |
Dereva wa CCBRT Bw. Athuman Ally pamoja na Liliynorah wakielezeana namna walivyojifunza kwa watu wenye ulemavu |
No comments:
Post a Comment