Mahsein Awadhi ‘Dk. Cheni’.
UAMUZI wa kujitosa kuwania nafasi ya uenyekiti wa kundi la mastaa la Bongo Muvi kwa mwigizaji Mahsein Awadhi ‘Dk. Cheni’, umempa wakati mgumu mwenyekiti anayemaliza muda wake wa kuliongoza kundi hilo, Vincent Kigosi ‘Ray’ kwa hofu ya kuidondosha nafasi hiyo tamu.
UAMUZI wa kujitosa kuwania nafasi ya uenyekiti wa kundi la mastaa la Bongo Muvi kwa mwigizaji Mahsein Awadhi ‘Dk. Cheni’, umempa wakati mgumu mwenyekiti anayemaliza muda wake wa kuliongoza kundi hilo, Vincent Kigosi ‘Ray’ kwa hofu ya kuidondosha nafasi hiyo tamu.
Akizungumza kwa njia ya simu na mwandishi wetu mwishoni mwa wiki
iliyopita kwa sharti la kutotajwa jina lake, mmoja wa wasanii wakubwa
wa kundi hilo alisema tangu Dk. Cheni atangaze nia ya kuwania nafasi
hiyo, Ray amekosa raha kutokana na ubora wa sera ambazo Dk. Cheni
amekuwa akizinadi kwa wapiga kura.
Vincent Kigosi ‘Ray’.
No comments:
Post a Comment