TTCL

EQUITY

Thursday, November 14, 2013

SIFA MOJA WAPO YA MREMBO NI KUJUA KUCHEZA..!!

muulize mpenzi wako anayaweza.....?

http://theclicktz.blogspot.com/
Mmoja wa mamiss akicheza ‘Aladji’ huku wenzake wakimshangilia.
 
WAREMBO walioshiriki kinyang’anyiro cha kumsaka mlimbwende wa Taji la Miss Tanzania mwaka 2010 walikuwa katika mazoezi ya ufukweni kwenye Hoteli ya Jangwani Sea Breeze Resort katika kuangalia vipaji vya warembo hao.

http://theclicktz.blogspot.com/
 Njemba hii iliyoshika chupa ya bia ilishindwa kuvumilia na kuingia kati kusakata na mrembo huyo.

http://theclicktz.blogspot.com/ 
Mrembo analiyekuwa akishikilia Taji la Miss Tanzania, Miriam Gerald (kulia) akibadilisha mawazo na mmoja wa warembo ufukweni hapo.

No comments:

Post a Comment