Kama tunavyojua pombe za bure , dada alizipiga vizuri mpaka kuwa
chakari, ila alipata akili ya kuwahi kwake alipofika mlangoni
alikaachini na kuuchapa usizingizi , majirani baada ya kumuona hapo
ilibidi wa mbebe na kumuingiza ndani kwake kumlaza kwenye kapeti na
kumfungia.
No comments:
Post a Comment