TTCL

EQUITY

Thursday, July 4, 2013

Rais Morsi wa Misri Apinduliwa

Jeshi lashika nchi; Lasimamisha Katiba

Rais Mohammed Morsi wa Misri aliyechaguliwa kwa njia za demokrasia amepinduliwa na jeshi la nchi hiyo na Katiba ya nchi hiyo imesitishwa huku jeshi likimteua Jaji wa Mahakama ya Katiba kuwa Mkuu wa Muda wa Nchi. Akizungumza katika televeshini Mkuu wa Jeshi la Nchi hiyo Generali Abdel Fattah Al-Sisi amesema kuwa jeshi la nchi hiyo haliwezi kuiacha Misri ikiwa katika hali ya kuyumba na mgongano wa kisiasa usiokwisha na hivyo ili kulinda maslahi ya watu wa Misri na taifa lao jeshi limeamua kuchukua nchi. Habari hizo zimesababisha mlipuko wa shangwe kwa maelfu – kama siyo mamilioni – ya wananchi wa Misri ambao walikuwa wamekusanyika kwa siku kadhaa sasa katika viwanja vya Tahrir ambao walikuwa wanasubiria habari hii kwa shauku kubwa.

In a televised broadcast General Abdel Fattah al-Sisi effectively declared the removal of elected President Mohamed Morsi
Gen al-Sisi akizungumza kwenye Televisheni

Celebrations broke out after the head of Egypt's armed forces issued a declaration suspending the constitution
Army soldiers take their positions in front of anti-Morsi protestors near the Republican Guard headquarters in Cairo
Army soldiers stand guard in front of protesters near the Republican Guard headquarters in Cairo
Wanajeshi wakisimama kulinda Makao Makuu ya Kikosi Maalum cha Ulinzi wa Rais

No comments:

Post a Comment