Masanja Mkandamizaji akiwa nje ya Ikulu ya Marekani (White House)
Comedian
toka Tanzania, Emanuel Mgaya, maarufu kama Masanja Mkandamizaji akiwa
nje ya Ikulu ya Marekani jijini Washington. Masanja yuko nchini Marekani
kwa matembezi na shughuli zake za sanaa na Injili.
No comments:
Post a Comment