![]() |
| Rpc msangi akipita mtaani kuongea na wananchi akiwasisitiza hali ya Amani itawale Mjini Tunduma |
![]() |
| kila kona wananchi walionekana wakizunguka na maji ilikuweza kukabiliana na mikimiki ya mabomu ya machozi |
![]() |
| Hivi ndivyo hali ilivyokuwa Tunduma majira ya mchana |
![]() |
| Mkazi wa Tunduma akionesha bomu la machozi ambalo halijatumika bado, alilopora polisi kisha kutoweka nalo |
![]() |
| Barabara na wananchi zilifungwa kwakuwasha moto |
![]() |
| Diwani wa Tunduma Frank Mwakajoka akiwaeleza wanachi kilichomsibu baada ya kukamatwa na polisi, kushoto ni Mbunge Mhe. Silinde. |







No comments:
Post a Comment