TTCL

EQUITY

Tuesday, October 7, 2014

Chiwaman, Rose Ndauka waficha makubwa

Msanii wa muziki Chiwaman, pamoja na mama wa Mtoto wake Rose Ndauka wamewaacha mashabiki wao katika sintofahamu kubwa kwa kitendo chao cha kumwagana na kuiweka sababu ya wao kutengana kuwa ni siri kubwa licha ya jitihada zilizofanyika kujua ukweli.
Rose na Chiwaman enzi za mahaba mazito
Katika mahojiano ambayo tumefanya na wasanii hawa, kila upande wameweka wazi kuwa swala hili ni la nje ya sanaa wanazofanya huku Chiwaman akienda mbali zaidi na kukanusha kubakia na hisia za upendo kwa Rose.

No comments:

Post a Comment