Kilichojiri kwenye uzinduzi wa Malaika music band ya Christian Bella
Baada
ya kuachana na bendi yake ya zamani hatimaye mwanamuziki Christian
Bella amezindua bendi yake inayoitwa “Malaika music band” ambapo kwenye
uzinduzi alipewa support na wasanii kama Dully Sykies, Cassim Mganga na
wengine.
No comments:
Post a Comment