TTCL

EQUITY

Thursday, February 18, 2016

Shirikisho la Vyuo vya Elimu ya Juu CCM Zanzibar watoa tamko lisome hapa

Shirikisho la Vyuo vya Elimu ya Juu CCM Zanzibar limeongea na wanahabari na kutoa tamko juu ya mwenendo wa kisiasa unaoendelea visiwani Zanzibar  ambapo linawanasihi wananchi wote wapenda Amani na maendeleo ya Zanzibar wajitokeze kwa wingi kwenda kupiga kura siku ya Jumapili ya tarehe 20 Machi 2016 ili kutimiza haki yao ya kikatiba.
Lisome hapa tamko hilo:

No comments:

Post a Comment