BASI lenye namba ya usajili T848
ASZ lilipinduka baada ya kuacha barabara na kuingia vichakani wakati
lilipokuwa likivutwa baada ya kuharibika, Ajali hii ilitokea katika
kijiji cha Manga
Mkoani Tanga barabara ya kutoka Dar kuelekea Tanga, Inasemekana halikuwa na abiria yeyote ni Dereva na Konda tu ndio waliyonusurika kifo
katika ajali hiyo.
No comments:
Post a Comment