TTCL

EQUITY

Tuesday, November 12, 2013

KIPAJI KIPYA...!

  MATENDO ANDREW AFUNGUKA JUU YA PETER BANZI

Matendo Andrew akiwa katika pozi
Ni mara chache sana imekuwa ikitokea mwimbaji kutamka kwa kinywa chake na kusema kuwa anamkubali mwimbaji mwenzie! lakini kwa mara ya kwanza mwimbaji Matendo Andrew. amesema hafichi ukweli uliopo moyoni mwake juu ya kumkubali mwimbaji Peter Banzi anayefanya mziki wa injili kwa style ya hip hop.
 
Matendo Andrew kulia akiwa na Peter Banzi katika pozi
Aliyasema hayo nilipo fanya nae mahojiano siku ya jumapili tulipokua katika hafla maalum iliyoandaliwa na mtangazaji wa praise power radio huko Tegeta.
 

Peter Banzi wa kwanza kushoto katikati ni Gazuko na mwisho ni Matendo Andrew
Pia aliongelea juu ya ujio wa album yake mpya inayoenda kwa jina la Ndani ya Yesu, yenye nyimbo nane ikiwa imekamilika kwa mfumo wa audio na video.

No comments:

Post a Comment