Nakomaa
na jiji ndiyo nyimbo yake inayofanya vizuri katika radio station pamoja
television hapa nchini. Muite Shilole Kiuno ambae pia ni staa wa tasnia
ya filamu.
Shilole ambae aliulizwa kuhusu Suma Mnazaret kuimba katika nyimbo yake ya Umechelewa aliyoshirikiana na Richard na katika wimbo huo suma alisema"Eti umeenda marekani soon utafanya nyimbo mpya na Jlo kwa muziki gani wewe umechelewa"
Shilole alisema"Kijana mdogo huyu anatafuta umaarufu kupitia watu maarufu kama sisi.Hivyo sina time ya kumjibu chochote aendelee kujipanga kivingine.
Shilole ambae aliulizwa kuhusu Suma Mnazaret kuimba katika nyimbo yake ya Umechelewa aliyoshirikiana na Richard na katika wimbo huo suma alisema"Eti umeenda marekani soon utafanya nyimbo mpya na Jlo kwa muziki gani wewe umechelewa"
Shilole alisema"Kijana mdogo huyu anatafuta umaarufu kupitia watu maarufu kama sisi.Hivyo sina time ya kumjibu chochote aendelee kujipanga kivingine.
No comments:
Post a Comment