TTCL

EQUITY

Sunday, October 13, 2013

JACKLINE WOLPER AUGUA GHAFLA NA KULAZWA


Msanii wa Filam Tanzania ajulikanae kwa jina la Wolper yuko hoi Hospitalini huku akiomba Dua kwa wapenzi wake wamuombee ili apone haraka. Wolper ameripot taarifa za kuumwa kwake katika akaunti yake ya facebook na kuainisha ugonjwa unaomsumbua ni Maralia na ujumbe huo umesomeka hivi:

No comments:

Post a Comment