TTCL

EQUITY

Thursday, June 4, 2015

BILA WAO TUSINGEWAJUA....

Huyu ndio Mzazi mzaa chema.....!

Diamond na mama yake


Hemed na mama yake


Linah akiwa na baba na mama yake


Lulu na mama yake


Wema na mama yake


Monalisa na mama yake


Shilole na mama yake


Jokate na mama yake
Naamini kila mtu anawapenda wazazi wake, kwa sababu ndio wametuleta duniani na pengine wamechangia mafanikio yetu. Leo tumeamua kukuletea picha za baadhi ya wasanii wa hapa kwetu Bongo wakiwa na wazazi wao.
Picha hizi ni za wasanii saba tofauti wengine wakiwa wa muziki na wengine waigizaji, tulichogundua ni kwamba wengi wa wasanii hawa hawajapiga picha na baba zao, ni mmoja tu kati ya nane ndo kapiga picha na Baba & Mama yake. 

No comments:

Post a Comment