UVAAJI MAVAZI YA NUSU UCHI SAMPULI HII...!UBAKAJI KUISHA NI NDOTO ZA ALINACHA...!
Kuna mavazi ya kuvaa ila uvaaji huu umepitiliza huyu dada alinaswa
kwenye pub fulani akiwa amevaa hivi, uvaaji huu unaleta ushawishi ambao
matokeo yake yanaweza yasiwe mazuri kama vile kusababisha ubakaji na
mambo mengine mabaya.
KINA DADA MJIREKEBISHE JAMANI.
No comments:
Post a Comment