Mwanadada
Doria Tillier ametekeleza ahadi yake ya kutangaza taarifa ya habari ya
hali ya hewa kwenye kituo kimoja cha Televisheni akiwa uchi.Mwanadada
huyo alitoa ahadi kama Ufaransa itafanikiwa kurudisha mabao 2 waliyokuwa
wamefungwa na Ukraine kwenye mchezo wa kwanza wa kufuzu fainali za
kombe la Dunia basi angetangaza taarifa ya habari akiwa kwenye hali ya
utupu.Kwenye mchezo wa marudiano Ufaransa ilifanikiwa kuitandika Ukraine
mabao 3-0 na kufanikiwa kukata tiketi ya kwenda Brazil mwakani.
No comments:
Post a Comment